Rais Dkt John Magufuli amewalika baadhi ya viongozi waandamizi wa zamani wakiwemo marais, makamu wa rais, maspika, mawaziri wakuu na majaji wakuu wakati wa mazungumzo maalumu yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt John Magufuli amewalika baadhi ya viongozi waandamizi wa zamani wakiwemo marais, makamu wa rais, maspika, mawaziri wakuu na majaji wakuu wakati wa mazungumzo maalumu yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam leo.