×

Cardi B Rapa wa Kwanza wa Kike Billboard Hot 100

Related image

Cardi B

RAPA wa kike Cardi B wa Marekani ameweka hstoria ya kuwa rapa wa kwanza wa kike kushika nafasi mbili za nyimbo katika Billboard Hot 100.

Nyimbo hizo ni ile ya mwaka 2017 ya  “Bodak Yellow” na ya sasa ya “I Like It” aliyoitoa na  Bad Bunny na  J Balvin.

Nyimbo za rapa wengine ni  ya Lauryn Hill (“Doo Wop That Thing)”), Lil’ Kim (“Lady Marmalade”) aliyoimba na Christina Aguilera, Mya na Pink), Shawnna (na Ludacris‘ “Stand Up”) na  Iggy Azalea(“Fancy” aliyoimba na  Charli XCX).