Jeshi la polisi Mkoani Arusha Limekamata Mashine feki za Wachina zinazotumika kuchezeshea kamari ambazo ziliingizwa nchini kinyume na Utaratibu na hazitendi haki kwa watumiaji.
Jeshi la polisi Mkoani Arusha Limekamata Mashine feki za Wachina zinazotumika kuchezeshea kamari ambazo ziliingizwa nchini kinyume na Utaratibu na hazitendi haki kwa watumiaji.