



Mwanamuziki mkubwa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’ usiku wa kuamkia leo amefanya shoo ya aina yake mjini Kahama katika mkoa wa Shinyanga ambako mashabiki walisuuzika roho zao ipasavyo kutokana na shoo hiyo kuwa ya viwango vyote.




Mwanamuziki mkubwa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’ usiku wa kuamkia leo amefanya shoo ya aina yake mjini Kahama katika mkoa wa Shinyanga ambako mashabiki walisuuzika roho zao ipasavyo kutokana na shoo hiyo kuwa ya viwango vyote.