BAADA ya kurejea kwenye chama chake cha awali — Chama cha Mapinduzi (CCM) — waziri mkuu mstaafu, Edward Lowassa, leo anatarajiwa kupokelewa kwa kishindo mjini Monduli na baadaye kuzungumza na wanachama wa chama hicho.





BAADA ya kurejea kwenye chama chake cha awali — Chama cha Mapinduzi (CCM) — waziri mkuu mstaafu, Edward Lowassa, leo anatarajiwa kupokelewa kwa kishindo mjini Monduli na baadaye kuzungumza na wanachama wa chama hicho.




