Mwanamuziki kutoka WCB, Rayvanny, amefanya kituko cha aina yake alipokuwa stejini akipafomu wimbo wake mpya wa Tetema, kwa kumnyanyua Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangala, na kumuomba acheze staili ya wimbo huo.
Mwanamuziki kutoka WCB, Rayvanny, amefanya kituko cha aina yake alipokuwa stejini akipafomu wimbo wake mpya wa Tetema, kwa kumnyanyua Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt Hamis Kigwangala, na kumuomba acheze staili ya wimbo huo.