Staa wa filamu bongo Wema Isaac Sepetu Siku ya Tarehe 15 April alipopewa nafasi ya kuongea mbele ya wadau walioudhuria kongamano la waigizaji aliiongea mambo mengi sana mojawapo ni kuhusiana na sababu ya matatizo yaliyo mpata.
Staa wa filamu bongo Wema Isaac Sepetu Siku ya Tarehe 15 April alipopewa nafasi ya kuongea mbele ya wadau walioudhuria kongamano la waigizaji aliiongea mambo mengi sana mojawapo ni kuhusiana na sababu ya matatizo yaliyo mpata.