MAMA Janeth Magufuli akiwa katika mazungumzo na mke wa Rais wa Afrika Kusini, Dkt. Tshepo Motsepe-Ramaphosa, baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
…Akimkabidhi mgeni wake zawadi ya picha.
Mama Motsepe-Ramaphosa akishukuru kupewa zawadi hiyo.
PICHA NA IKULU