KOCHA Mkuu wa Zesco United, George Lwandamina amesema atatumia ubora wa timu yake dhidi ya Yanga na ana matumaini ya ushindi katika Uwanja wa Taifa jijijni Septemba 14, 2019.
KOCHA Mkuu wa Zesco United, George Lwandamina amesema atatumia ubora wa timu yake dhidi ya Yanga na ana matumaini ya ushindi katika Uwanja wa Taifa jijijni Septemba 14, 2019.