MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, ameungana na viongozi wa nchi mbalimbali katika kuuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe, katika viwanja vya Rufaro jijini Harare.
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, ameungana na viongozi wa nchi mbalimbali katika kuuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe, katika viwanja vya Rufaro jijini Harare.