
WANAICHI Chini China wamkejitokeza leo katika eneo la Tiananmen Square mjini Beijing kushuudia gwaride la maadhimisho ya miaka 70 kwa gwaride la kijeshi la askari wapatao 188.
Makombora haina ya Dongfeng-17 ya shabaa za mabali katika gwaride la leo la jeshi
Televisheni ya taifa ya nchini China CCTV imeripoti kuwa maadhimisho hayo yalilenga kusheherekea siku hii baada ya kupita hatua ya kuwa taifa maskini na sasa ni taifa la pili duniani kwa kuwa na uchumi mkubwa duniani

Shere hizo zilipambwa na maonesho ya ndege 150 za kivita na tayari nyengtine zimeanza kurushwa pamoja na Silaha mpya za DF-41 ambazo wachambuzi wanasema kuwa zimelengwa kutumika sehemu yoyote ulimwenguni.

Wananchi wengi wamejitokeza kushuudia kwa ukaribu maadhimisho hayo huku wakijipiga picha za ukumbusho wa siku hiyo muhimu katika historia ya nchi yao.
Askari wa kikosi cha kukomboa watu (PLA)
Mizinga haina ya Dongfeng-41 ambayo inauwezo ya kulipua nchini ndani ya dakika 30