
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni shabiki wa Simba, Paul Makonda ameteuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa Bodi ya Wakurugenzi.
Taarifa hiyo imetolewa leo kupitia Ukurasa rasmi wa Istagram ya Simba.


MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni shabiki wa Simba, Paul Makonda ameteuliwa kuwa Mshauri Mkuu wa Bodi ya Wakurugenzi.
Taarifa hiyo imetolewa leo kupitia Ukurasa rasmi wa Istagram ya Simba.
