×

Hawa Ndo Mabondia 50 Bora Zaidi Katika Karne ya 21

Mkali wa Ufilipino Manny Pacquiao amepigiwa kura nyingi zaidi kama bondia bora katika karne ya 21 mbele ya mpinzani wake Floyd Mayweather.

 

Mayweather, ambaye mara nyingi hufikiriwa kuwa mmoja wa Mabondia Bora kwenye historia, alimaliza nyuma ya mwamba wa Ufilipino katika nafasi ya pili.

Wakongwe wa ndondi kama Wladimir Klitschko, Mike Tyson na Lennox Lewis wote majina yao yameingia katika 10 bora.

 

Na nyota wa sasa kwenye uzani wa juu (Heavyweights) Anthony Joshua, Tyson Fury na Deontay Wilder wameorodheshwa ktk nafasi ya 22, 25 na 27.

 

Hapa nimeweka mabondia 50 bora wa karne hii: (Source: sportbible.com)

 

50. Brian Viloria49. David Lemieux

48. Arthur Abraham

47. Kubrat Pulev

46. Naseem Hamed

45. Denis Lebedev

44. Jermain Taylor

43. Tomasz Adamek

42. Marcos Maidana

41. Billy Joe Saunders

40. Kelly Pavlik

39. Guillermo Rigondeaux

38. Mikkel Kessler

37. Alexander Povetkin

36. Oleksandr Usyk

35. Danny Garcia

34. Sergio Martinez

33. Timothy Bradley

32. Julio Cesar Chavez Jr

31. Ricky Hatton

30. Carl Froch

29. Nonito Donaire

28. Amir Khan

27. Roman Gonzalez

26. Deontay Wilder

25. Terence Crawford

24. Tyson Fury

23. Shane Mosley

22. Julio Cesar Chavez

21. Anthony Joshua

20. Erik Morales

19. Marco Antonio Barrera

18. Juan Manuel Marquez

17. Vitali Klitschko

16. Sergey Kovalev

15. Andre Ward

14. Felix Trinidad

13. Vasyl Lomachenko

12. Canelo Alvarez

11. Miguel Cotto

10. Joe Calzaghe

9. Bernard Hopkins

8. Oscar de la Hoya

7. Lennox Lewis

6. Mike Tyson

5. Wladimir Klitschko

4. Roy Jones Jr

3. Gennady Golovkin

2. Floyd Mayweather Jr

1. Manny Pacquiao.

Leave a Comment