GLOBAL TV Online imemtembelea mwanamuziki wa kitambo, Irene Malekela, mwenye ulemavu aliyekuwa akiunda kundi la Choka Mbaya Sisters, ambaye kwa sasa ameokoka, ameolewa na anaendelea kulea familia yake.
GLOBAL TV Online imemtembelea mwanamuziki wa kitambo, Irene Malekela, mwenye ulemavu aliyekuwa akiunda kundi la Choka Mbaya Sisters, ambaye kwa sasa ameokoka, ameolewa na anaendelea kulea familia yake.