×

WWF Yaungana na Wanawake Kupanda Miti 100 Mloganzila

WWF wakipanda miti katika kuazimisha siku hiyo.

Shirika la Uhifadhi wa Manzingira Duniani (WWF) katika kusherehekea siku ya mazingira duniani jana Machi 6, 2020 waliungana na wadau wengine na kupanda miti mia moja pamoja na kujitolea damu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ya Mloganzila. WWF katika kufurahia na wanawake waliojifungua kwenye hospitali hiyo na kuwapa zawadi mbalimbali.

Meneja Mawasilino wa WWF, Joan Itanisa (kushoto) akizungumza na Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi na Ukungu, Redemptha Matindi.
Mmoja wa wafanyakazi wa WWF akimpa zawadi mama aliyefika hospitalini hapo kwa ajili ya kujifungua.
Picha ya pozi baada ya kumaliza matukio.
Muonekano wa Hospitali ya Mloganzila .

HABARI: NEEMA ADRIAN | PICHA: RICHARD BUKOS/GPL

Leave a Comment