MKURUGENZI wa mashtaka DPP, Biswalo Mganga, leo Machi 12, ameitisha mkutano na waandishi wa habari na kutolea ufafanuzi hoja mbalimbali zilizotolewa na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.
MKURUGENZI wa mashtaka DPP, Biswalo Mganga, leo Machi 12, ameitisha mkutano na waandishi wa habari na kutolea ufafanuzi hoja mbalimbali zilizotolewa na Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema.