×

Breaking: Mwakinyo Aahirisha Pambano Lake Kisa Corona – Video

Bondia wa Tanzania, Hassan Mwakinyo ameahirisha Pambano lake dhidi ya Bondia wa Ujerumani Jack Culcay ambalo lilitarajiwa kufanyika Machi 21, 2020 nchini Ujerumani kwa hofu ya virusi vya Corona.

Leave a Comment