Tanzia: Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Vunjo Afariki Dunia
Global Publishers May 1, 2020 0 Comments
SHARE THIS:
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Aloyce Kimaro, amefariki dunia jana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.