
RAIS Dkt John Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM, Juni 10, 2020 amekutana na kufanya mazungumzo na makamu mwenyekiti wa chama hicho ambaye ni Rais wa baraza la mapinduzi Zanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein.


RAIS Dkt John Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM, Juni 10, 2020 amekutana na kufanya mazungumzo na makamu mwenyekiti wa chama hicho ambaye ni Rais wa baraza la mapinduzi Zanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein.
