
Mwanasheria na Mwanadiplomasia, Deogratius Ndosi, jana Julai 15 alichukua fomu ya kutia nia ya kugombea ubunge, Jimbo la Kibaha Mjini mkoani Pwani kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Habari/Picha: Mwandishi wetu.

Mwanasheria na Mwanadiplomasia, Deogratius Ndosi, jana Julai 15 alichukua fomu ya kutia nia ya kugombea ubunge, Jimbo la Kibaha Mjini mkoani Pwani kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

Habari/Picha: Mwandishi wetu.