×

Kigogo Yanga Afutwa Kazi

Uongozi wa Klabu ya Yanga unawaarifu wanachama, wapenzi na umma kwa ujumla kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Klabu hiyo, Robert Kabeya kwa sasa sio mfanyakazi wa Klabu hiyo.

Leave a Comment