Global Publishers August 25, 2020 4,552 views 0 Comments
SHARE THIS:
TUMEya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Bernard Membe kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad, kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, 2020. Membe ni mgombea wa tisa kuteuliwa.