Membe Arejesha Fomu ya Urais, NEC Yamteua – Video Global Publishers August 25, 2020 0 Comments SHARE THIS: TUMEya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemteua Bernard Membe kuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia ACT-Wazalendo na mgombea mwenza, Profesa Omar Fakih Hamad, kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 28, 2020. Membe ni mgombea wa tisa kuteuliwa. SHARE THIS: