RAIS MAGUFULI amempigia simu LIVE, Mkurugenzi Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Patrick Aron Nipilima Mfugale na kumtaka kuanza kuijenga Barabara ya Sengerema – Nyehunge kwa kiwango cha lami kabla ya Desemba mwaka huu.
RAIS MAGUFULI amempigia simu LIVE, Mkurugenzi Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Patrick Aron Nipilima Mfugale na kumtaka kuanza kuijenga Barabara ya Sengerema – Nyehunge kwa kiwango cha lami kabla ya Desemba mwaka huu.