Watanzania Kuingia Kenya Bila Kuwekwa Karantini Global Publishers September 16, 2020 0 Comments SHARE THIS: SERIKALI ya Kenya imetoa orodha ya nchi 147 ambazo raia wake wataruhusiwa kuingia nchini humo bila kukaa karantini ambapo kwenye orodha hiyo Tanzania ni miongoni mwake. Orodha hiyo ipo hapa chini: SHARE THIS: