Makonda, Gwajima Wakutana kwa Pengo Global Publishers September 22, 2020 0 Comments SHARE THIS: Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima kwa pamoja wamemtembelea Kadrinali Pengo mapema leo Jumanne, Septemba 22, 2020. SHARE THIS: