×

Rais JPM Afanya Uteuzi Mzumbe University

Rais John Magufuli leo Septemba 30, amemteua Prof. Metthew Luhanga kuwa mwenyekiti wa Baraza la chuo kikuu Mzumbe. Prof. Luhanga anashika wadhifa huo kwa kipindi cha pili.
ful

Leave a Comment