×

🔴#LIVE: Polepole Azungumza na Wanahabari


Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole akizungumzia mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa chama hicho, Rais John Pombe Magufuli utakaofanyika kesho Ijumaa 9 Oktoba 2020 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Leave a Comment