Rais Magufuli Amjulia Hali Mama Anna Mkapa Jijini Dar Leo
Global Publishers October 18, 2020 0 Comments
SHARE THIS:
Rais Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli wakiongea na Mama Anna Mkapa, Mjane wa Rais ya Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa, walipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Masaki jijini Dar es salaam leo Jumapili
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe, Mama Janeth Magufuli leo Jumapili Oktoba 18, 2020 wamekwenda kumjulia hali Mama Anna Mkapa, Mjane wa Rais ya Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa, nyumbani kwake Masaki jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiagana na Mama Anna Mkapa, Mjane wa Rais ya Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa, alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Masaki jijini Dar es salaam leo Jumapili
UJENZI Nyumba ya KIKWETE, MAGUFULI Amvaa MKANDARASI – “HII Sio ya HISANI, ni SHERIA”…