Morrison Afungiwa Mechi Tatu Ligi Kuu, Apigwa Faini
Global Publishers October 29, 2020 0 Comments
SHARE THIS:
Mchezaji wa Simba SC, Bernard Morrison amepigwa faini ya Tsh. 500,000 na kufungiwa mechi 3 kwa kosa la kumpiga ngumi Juma Nyoso wa Ruvu Shooting wakati wa mchezo uliozikutanisha timu hizo.