Magufuli Amtumia Ujumbe Biden Global Publishers November 11, 2020 0 Comments SHARE THIS: RAIS John Magufuli amempongeza Rais Mteule wa Marekani, Joe Biden, na makamu wake Kamala Harris kwa kushinda katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo huku akiwahakikishia ushirikiano wa Tanzania na Marekani. SHARE THIS: