








Wahariri wa vyombo vya habari na waandishi waandamizi wametembelea hifadhi wa Ngorongoro Crater baada ya ya kushiriki semina ya siku tatu ya wahariri wa vyombo vya habari na waandishi waandamizi kuhusu uhifadhi wa Ngorongoro Crater iliyoandaliwa na kufanyika katika makao makuu ya hifadhi hiyo Karatu Mkoani Arusha kwa lengo la kubadilishana mawazo.