
DAR: Wakati leo tukifungua pazia la Mwaka Mpya wa 2021, mikakati na malengo yaliyowekwa na Serikali na watu wa kada mbalimbali yameashiria kicheko katika mwaka huu ambao unaelezwa utafuta machungu ya mwaka jana, Gazeti la IJUMAA linachambua.
Hatua hiyo inatokana na ukweli kuwa mwaka 2020, ulikuwa mwaka wa kutetea uhai zaidi kitu chochote kutokana na madhara makubwa ya janga la Virusi vya Corona ambavyo vimechukua uhai wa watu milioni 1.8 duniani.
Corona ilisababisha kila sekta kusimama na kulazimisha watu kujifungia ndani ilihali kwa upande wa Tanzania kulikuwa na ahueni kutokana na mkono wa Mungu na ujasiri wa Rais Dk John Pombe Magufuli.
Athari za Corona, zimedhihirika kwenye sekta ya sanaa, elimu, utalii, afya na huduma nyingine muhimu ambazo zimedumaza ukuaji wa pato la mtu mmojammoja na Taifa kwa jumla.
SOMA HABARI kwenye Gazeti la Ijumaa Jan-01,
Kwa nusu bei tu
Gazeti la Ijumaa👉http://bit.ly/3o8t0Fy
Gazeti la Championi👉https://bit.ly/3rDT9hT
Pakua App ya Global APP kupiti👇
iOS👉 https://apple.co/38HjiCx
Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8