LEO NDIO LEO! Ndivyo unavyoweza kusema kwani wawakilishi pekee kutoka Tanzania kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika, SIMBA SC, wameshuka katika dimba la Mkapa jijini Dar, kuvaana na FC Platinum ya Zimbabwe… ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx