
Muigizaji Aunt Ezekiel amesema mtoto aliyezaa na Kusah ni zawadi kwa rafiki yake Wema Sepetu, kwani alishamuahidi tangu akiwa na mimba kuwa akijifungua mtoto huyo atakuwa zawadi yake.

Muigizaji Aunt Ezekiel amesema mtoto aliyezaa na Kusah ni zawadi kwa rafiki yake Wema Sepetu, kwani alishamuahidi tangu akiwa na mimba kuwa akijifungua mtoto huyo atakuwa zawadi yake.