
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 7, 2021 awasili Jijini Dar es Salaam akitokea Jijini Dodoma. Leo jioni atazungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam na kula nao futari katika ukumbi wa Mlimani City.


RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 7, 2021 awasili Jijini Dar es Salaam akitokea Jijini Dodoma. Leo jioni atazungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam na kula nao futari katika ukumbi wa Mlimani City.
