Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Samia Suluhu Hassan leo Jumanne, Mei 11, 2021 amefanya uteuzi wa Majaji 7 wa Mahakama za Rufani na amemuongezea muda Jaji mmoja, pia ameteua Majaji 21 wa Mahakama Kuu.



Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Samia Suluhu Hassan leo Jumanne, Mei 11, 2021 amefanya uteuzi wa Majaji 7 wa Mahakama za Rufani na amemuongezea muda Jaji mmoja, pia ameteua Majaji 21 wa Mahakama Kuu.


