×

Nafasi za kazi 7 Ministry of Water and Irrigation, Fundi Sanifu msaidizi

POST FUNDI SANIFU MSAIDIZI DARAJA LA II (MAABARA) – 7 POST
POST CATEGORY(S) WATER, MINING AND NATURAL RESOURCES
EMPLOYER Ministry of Water and Irrigation
APPLICATION TIMELINE: 2021-06-17 2021-07-01
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.Kufanya usafi wa kawaida wa vifaa vya maabara yaani ‘Glassware’ kwa kufuata taratibu za kimaabara;

ii.Kuchukua sampuli za majisafi na majitaka;

iii.Kuandaa vifaa kwa ajili ya uchunguzi wa kiumbo, kikemikali na kibaiolojia (physical, chemical and bacteriological);

iv.Kufanya uchunguzi vipimo vyepesi (elementary/simple parameters) vya majisafi na majitaka.

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita (vi) waliofuzu mafunzo ya miaka miwili (Technician Certificate) ya ufundi sanifu wa Maabara ya maji kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION TGS A

 

BONYEZA  HAPA KUTUMA MAOMBI

Leave a Comment