KATIKA kipindi cha ‘HOTPOT’ leo Juni 28, wadakuzi wa mambo wamekuja na ripoti toka majuu kuhusiana na tuzo za BET ambapo ndani ya ripoti hiyo zimeandikwa sababu kedekede za Diamond Platnumz kukosa tuzo hiyo..
KATIKA kipindi cha ‘HOTPOT’ leo Juni 28, wadakuzi wa mambo wamekuja na ripoti toka majuu kuhusiana na tuzo za BET ambapo ndani ya ripoti hiyo zimeandikwa sababu kedekede za Diamond Platnumz kukosa tuzo hiyo..