



Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Agosti 05, 20201 ameshiriki Mkutano wa Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo, uliofanyika Chalinze, Bagamoyo uliokuwa una pokea taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM katika kipindi cha Miezi 6 ya mwaka.#KaziInaendelee #BagamoyoInaendelee