×

Rais Awateua Prof. Elisante Na Jaji Mstaafu Mohamed Chande

Rais Samia Suluhu amemteua Jaji Mstaafu Mohamed Chande Othman kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi

Pia, amemteua Prof. Elisante Ole Gabriel kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo

Prof. Elisante pamoja na Mabalozi Wateule watatu wa Italia, Uturuki na Marekani wataapishwa Agosti 21, Ikulu Dar es Salaam

 

Leave a Comment