×

Kufuru: Msafara wa Irene Uwoya Akila Bata Visiwani Pemba -video

 

Baada ya kula bata ughaibuni Dubenga {DUBAI} Mrembo wa bongo movie Irene Uwoya ametua visiwani Pemba kwa ajili ya kile anachodai yeye kutumbua jasho lake {BATA}.

Msafara wake umewashtua wana Pemba na kuwaacha midomo wazi kwa kile kinachodaiwa kuwa ni  msafara wa kukata na shoka .

Mwanadada huyu amezua taharuki tangu aonekane kwenye mitandao ya kijamii akiponda mali uku watoto wa mjini wakiita [BATA} amefanya kufuru ya pesa na yeye akidai kwamba ni moja ya  kinachompa furaha katika maisha yake na familia yake kwa ujumla.

Leave a Comment