×

Gwajima Azungumza Jimboni Kwake; Chanjo ni Hiyari, Tusitishane-Video

MBUNGE wa Kawe Askofu Josephat Gwajima amezungumza jimboni kwake leo Septemba 5, 2021, amesema chanjo ni “chanjo ni hiyari, anayetaka kuchanjwa akanjwe na asiyetaka aache.

Leave a Comment