×

Mganga Wa Jadi Aliyeoa Wake 21 Azikwa Nyumbani Kwake Shinyanga-Video

Mazishi ya Mwili wa Mganga Maarufu wa kutoa tiba asili Machimu Mshono Ndalo almaarufu Ng’wanandalo aliyefariki dunia Septemba 20,2021 yamefanyika nyumbani kwake katika kata ya Mwakata wilayani Kahama mkoani Shinyanga Septemba 22,2021.

Leave a Comment