
Wizara ya Afya imetoa taarifa kwa umma kuwa, kumetokea hitilafu katika mfumo wa utoaji vyeti kwa njia ya mtandao, maarufu kama #PIMACOVID hivyo kuathiri utoaji wa vyeti hivyo, hasa kwa wasafiri wa viwanja vya ndege.


Wizara ya Afya imetoa taarifa kwa umma kuwa, kumetokea hitilafu katika mfumo wa utoaji vyeti kwa njia ya mtandao, maarufu kama #PIMACOVID hivyo kuathiri utoaji wa vyeti hivyo, hasa kwa wasafiri wa viwanja vya ndege.
