
Mchezaji wa zamani wa Simba Yahaya Akilimali amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 30, 2021 Ujiji Mkoani Kigoma.
Pumzika kwa amani winga teleza Akilimali. Innalillah 🙏


Mchezaji wa zamani wa Simba Yahaya Akilimali amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 30, 2021 Ujiji Mkoani Kigoma.
Pumzika kwa amani winga teleza Akilimali. Innalillah 🙏
