
Klabu ya Al Sadd Sc imethibitisha kuwa Xavi Hernandez ameondoka klabuni hapo na kujiunga na Fc Barcelona kama kocha Mkuu Barcelona wamelipa kiasi cha €5m ili kuvunja mkataba wake na timu hiyo.


Klabu ya Al Sadd Sc imethibitisha kuwa Xavi Hernandez ameondoka klabuni hapo na kujiunga na Fc Barcelona kama kocha Mkuu Barcelona wamelipa kiasi cha €5m ili kuvunja mkataba wake na timu hiyo.
