Walimu wa mwanafunzi Kunde aliyefanya mtihani akiwa gerezani mkoani Simiyu, wameeleza jinsi walivyopokea taarifa za mwanafunzi huyo kutoka jela na kutumikia kifungo cha miezi sita nje.
Walimu wa mwanafunzi Kunde aliyefanya mtihani akiwa gerezani mkoani Simiyu, wameeleza jinsi walivyopokea taarifa za mwanafunzi huyo kutoka jela na kutumikia kifungo cha miezi sita nje.