
Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Ijumaa, Desemba 17, 2021 imepokea na kujadili Mienendo ya Wabunge wake Jerry Slaa Humprey Polepole Josephat Gwajima! Imeazimia Kuwaita na Kuwaskiliza!


Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Ijumaa, Desemba 17, 2021 imepokea na kujadili Mienendo ya Wabunge wake Jerry Slaa Humprey Polepole Josephat Gwajima! Imeazimia Kuwaita na Kuwaskiliza!
