
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefungua pazia la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania kuteuliwa kugombea nafasi ya naibu spika wa Bunge katika uchaguzi utakaofanyika Bungeni jijini Dodoma 11 Februari 2022.


Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimefungua pazia la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania kuteuliwa kugombea nafasi ya naibu spika wa Bunge katika uchaguzi utakaofanyika Bungeni jijini Dodoma 11 Februari 2022.
