
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Machi 4, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe Ikulu Jijini Dar es Salaam.




Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Machi 4, 2022 amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe Ikulu Jijini Dar es Salaam.


